• malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi. |
Nkasi District Council
Nkasi District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

  • Nyumbani
  • Kuhusu sisi
    • Dhima na Dira
      • Muundo wa Taasisi
    • Muundo wa Taasisi
    • Historia
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya Fedha
      • Utawala na rasilimali watu
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Maendeleo ya jamii
      • Elimu msingi.
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na mitambo
      • Ardhi na maliasili
      • Kilimo na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA
    • Muundo wa taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa kwa umma
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Urban Planning and land Management

MAJUKUMU

Kuratibu shughuli zote za usimamizi wa uendelezaji Miji, upangaji wa Miji, Upimaji wa Ardhi, uthaminishaji na umilikishwaji kwa mujibu wa sheria ya Ardhi Na. 4 ya mwaka 1999 na sheria ya Mipango Miji Na. 8 ya mwaka 2007.

Idara ya Mipango Miji na Ardhi hutoa huduma kwa wananchi kupitia vitengo vyake vikuu vinne;-

KITENGO CHA MIPANGOMIJI.

Kuratibu shughuli zote za usimamizi wa uendelezaji Miji katika Manispaa ya Ilemela. Usimamizi na uendelezaji Miji unahusisha upangaji wa matumizi ya Ardhi na urasimishaji wa makazi yasiyo rasmi.

Kutoa elimu na ushauri kwa jamii kuhusu uendelezaji Miji kwa mujibu wa sheria ya Mipango Miji Na. 8 ya mwaka 2007.

KITENGO CHA ARDHI.

Kusimamia masuala yote ya ardhi, uaandaaji wa hatimiliki, uhamisho wa miliki, na utatuzi wa migogoro ya ardhi. Aidha siku ya Jumanne kila wiki ni siku ya kusikiliza migogoro ya ardhi kwenye Kata kwa ratiba inayoratibiwa na ofisi ya Mkuu wa Wilaya.

Ukusanyaji wa maduhuli ya Serikali ikiwemo kodi ya pango la ardhi (Land Rent).

Huduma kwa wananchi ni kwa siku za Jumatatu na Ijumaa kuanzia saa 1.30 asubuhi hadi saa 8.00 mchana.

KITENGO CHA UTHAMINI.

Kinashughulikia masuala yote ya uthamini, ikiwemo uthamini kwa ajili ya fidia, uthamini kwa ajili ya kodi za majengo, uthamini kwa ajili kubadili miliki na ukadiriaji wa kodi ya majengo, Ardhi pamoja na malipo ya mbele ya ardhi. (Premium), uthamini kwa ajili  ya dhamana, uthamini kkwa ajili ya kuongeza muda wa kumiliki hati (Renewal).

KITENGO CHA UPIMAJI NA RAMANI.

Kinashughulikia shughuli zote za upimaji wa ardhi na uandaaji wa ramani za upimaji (Survey plans)

Kuonyesha mipaka ya viwanja.

Kuandaa na kusaini ramani za hati (deed plans)

Matangazo

  • TANGANZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU April 04, 2025
  • Onesha zote

Taarifa mpya

  • KAMATI YA AFYA MSINGI WILAYA YA NKASI

    April 23, 2025
  • WAKUU WA IDARA NA VITENGO WAPEWA MAFUNZO YA MFUMO WA IFTMIS

    April 15, 2025
  • Onesha zote

Video

HOTUBA YA MH.MKUU WA WILAYA NKASI
Video za hivi punde

Ukurasa wa karibu

  • Utumishi wa umma
  • Ofisi ya Rais,Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Mfumo wa manunuzi nest
  • Employee Self Service

Kurasa zinazofanana.

  • Tovuti ya mkoa wa Rukwa
  • Wizara ya elimu sayansi na teknolojia
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la mitihani
  • Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia
  • Wizara ya mambo ya ndani ya nchi.
  • Wizara ya Kilimo
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Utumishi Portal

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Nkasi District Council

    Anwani ya posta: P. O. Box 2, Namanyere - Nkasi

    Simu: +255252830006

    Simu ya mkononi: +255252830006

    Barua pepe: ded@nkasidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Haki miliki