• malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi. |
Nkasi District Council
Nkasi District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

  • Nyumbani
  • Kuhusu sisi
    • Dhima na Dira
      • Muundo wa Taasisi
    • Muundo wa Taasisi
    • Historia
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya Fedha
      • Utawala na rasilimali watu
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Maendeleo ya jamii
      • Elimu msingi.
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na mitambo
      • Ardhi na maliasili
      • Kilimo na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA
    • Muundo wa taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa kwa umma
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

WAZIRI MKUU ATOA MAAGIZO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI NCHINI.

Imewekwa tarehe: December 17th, 2022


Awataka kwenda vijijini kuwasikiliza wananchi

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka watumishi kwenye Halmashauri zote nchini kutenga muda wa siku tatu kati ya siku za kazi kwenda vijijini ili kutatua changamoto za wananchi.

Amesema kuwa ni lazima watumishi wa umma wajue wajibu mkubwa ni kuwatumikia wananchi na kuhakikisha wanatatua changamoto mbalimbali zinazowakabili kwenye maeneo yao.

Amesema hayo Disemba 16, 2022 wakati wa kikao cha pamoja na watumishi wa umma wa Halmashauri za mkoa Rukwa ambako alikuwa kwenye ziara ya kikazi.

Amesisitiza kuwa Rais Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan anataka kuona kila mtumishi wa umma anawajibika katika kuwatumikia watanzania “Hawa wananchi wamesambaa katika Wilaya na halmashauri, tumejenga majengo ya ofisi sio lazima wananchi waje humo kupata huduma, wapo wengine hawawezi kuja hapa lakini wanahitaji Serikali yao inahudumie”

  1. Aidha, Mheshimiwa amewataka viongozi katika halmashauri kuhakikisha wanasimamia watumishi kutokaa ofisini wiki nzima badala yake waende vijijini kwani huko ndiko wananchi walipo ili wawasikilize na kuwatumikia.

Akizungumzia kuhusu ukusanyaji wa mapato, Waziri Mkuu amewataka watumishi wanaosimamia eneo hilo kufanya makadirio yenye uhalisia na kutambua vyanzo vyote ambavyo vinaweza kuingiza mapato “lazima mfanye tathmini eneo fulani linaweza kuwaingizia kiasi gani, kwa siku, kwa mwezi au kwa mwaka”

“Tunapotaka kukusanya mapato ya ndani anzeni kwa kubaini vyanzo na msiwaachie wakuu wa idara pekee “ Meya na wenyeviti wa halmahauri tushiriki kikamilifu, watendaji wa vijiji na kata hata watumishi wengine, tukishabaini turudi kusimamia sote”

Ameongeza kuwa Rais Dkt. Samia amewekea nguvu katika eneo la makusanyo “hakuna haja ya kutumia nguvu kubwa katika hili muhimu ni kusimamia, Serikali imeagiza kukusanya kielektroniki, tufanye hivyo, tumieni mashine zetu za POS”

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA YA UDEREVA NA AFISA MTENDAJI WA KIJII III April 05, 2023
  • MABADILIKO YA TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA AFISA MTENDAJI III June 01, 2023
  • Onesha zote

Taarifa mpya

  • KUELEKEA MIAKA 59 YA MUUNGANO DC AZINDUA CHUMBA CHA DARASA SHULE YA MSINGI MAJENGO.

    April 24, 2023
  • ELIMU BORA YAWEZESHA MAFUNZO YA UWAWA AWAMU YA I NKASI.

    March 09, 2023
  • WATENDAJI WA KATA WAKABIDHIWA PIKIPIKI KUBORESHA UKUSANYAJI WA MAPATO.

    March 10, 2023
  • WAZIRI MKUU ATOA MAAGIZO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI NCHINI.

    December 17, 2022
  • Onesha zote

Video

HOTUBA YA MH.MKUU WA WILAYA NKASI
Video za hivi punde

Ukurasa wa karibu

  • Utumishi wa umma
  • Ofisi ya Rais,Tawala za mikoa na serikali za mitaa

Kurasa zinazofanana.

  • Tovuti ya mkoa wa Rukwa
  • Wizara ya elimu sayansi na teknolojia
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la mitihani
  • Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia
  • Wizara ya mambo ya ndani ya nchi.
  • Wizara ya Kilimo
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Utumishi Portal

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Nkasi District Council

    Anwani ya posta: P. O. Box 2, Namanyere - Nkasi

    Simu: +255252830006

    Simu ya mkononi: +255252830006

    Barua pepe: ded@nkasidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Haki miliki