• malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi. |
Nkasi District Council
Nkasi District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

  • Nyumbani
  • Kuhusu sisi
    • Dhima na Dira
      • Muundo wa Taasisi
    • Muundo wa Taasisi
    • Historia
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya Fedha
      • Utawala na rasilimali watu
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Maendeleo ya jamii
      • Elimu msingi.
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na mitambo
      • Ardhi na maliasili
      • Kilimo na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA
    • Muundo wa taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa kwa umma
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

WATUMISHI MAKAO MAKUU NKASI WAPATA MAFUNZO YA KUJIKINGA NA MOTO.

Imewekwa tarehe: October 9th, 2025

Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Nkasi kupitia jeshi la zima moto na uokoaji imetoa mafunzo ya kujikinga na moto kwa watumishi wa makao makuu wa Halmashauri hiyo wawapo katika mazingira mbalimbali yakiwemo ya kazi.

Aidha lengo la mafunzo hayo ni kuongeza uelewa kwa watumishi hao juu ya matumizi sahihi ya vyazo vya moto, pamoja na kupunguza na kizuia ajali na vifo vitokanvyo na Moto.

Akizungumza katika mafunzo hayo Staff Sajenti Ciprian Mhuvi, ambaye pia ni kaimu Afisa Zima moto wilayani Nkasi, aliainisha visababishi vya moto( vyanzo )katika mazingira mbalimbali kuwa ni uzembe: unaosababishwa na uvutaji holela wa Sigara pamoja na mapishi jikoni, hitilafu ya umeme inayosababishwa na  kuzidisha mzigo kwenye vifaa vya umeme ( Extension Cable), kuunga umeme kienyeji, kutokukagua mifumo ya umeme ambapo amebainisha kuwa ni muhimu Kila baada ya miaka mitatu mifumo ya umeme ikaguliwe katika majengo mbalimbali ili kupunguza na kizuia madhara yanayoweza kujitokeza.

Sambamba na hayo aliongeza kuwa, matumizi ya vifaa vya umeme kwa muda mrefu ikiwemo Runinga, Redio, swichi mbovu, uandaaji wa mashamba kwa kuchoma moto na uwindaji ni miongoni mwa vyanzo vya moto vinavyoweza kuleta madhara makubwa katika jamii.

Kupitia mafunzo hayo Staff Sajenti Mhuvi, alisema zipo hatua madhubuti za kuchukua ili kujikinga na moto katika mazingira mbalimbali ikiwemo mahala pa kazi, ambazo ni kutoa elimu kwa umma, kufanya ukaguzi kwenye vyombo vya usafiri na usafirshaji, kuzingatia matumizi sahihi ya vifaa vya umeme, kuwa na vifaa vya kuzimia moto, mapishi salama pamoja na kuzingatia ujenzi bora hasa kwa kutumia malighafi yenye uwezo wa kizuia Moto kuanzia nusu saa hadi dakika arobaini na tano.




Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 03, 2025
  • TAARIFA YA MAFUNZO ELEKEZI KWA WALIMU WALIOAJIRIWA KATIKA UTUMISHI WA UMMA 2025 July 09, 2025
  • Onesha zote

Taarifa mpya

  • WATUMISHI MAKAO MAKUU NKASI WAPATA MAFUNZO YA KUJIKINGA NA MOTO.

    October 09, 2025
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA ELIMU YA WATU WAZIMA NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI

    September 02, 2025
  • MASHINDANO YA RIADHA YATIMUA VUMBI LEO SHIMISEMITA TANGA

    August 21, 2025
  • Onesha zote

Video

HOTUBA YA MH.MKUU WA WILAYA NKASI
Video za hivi punde

Ukurasa wa karibu

  • Utumishi wa umma
  • Ofisi ya Rais,Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Mfumo wa manunuzi nest
  • Employee Self Service

Kurasa zinazofanana.

  • Tovuti ya mkoa wa Rukwa
  • Wizara ya elimu sayansi na teknolojia
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la mitihani
  • Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia
  • Wizara ya mambo ya ndani ya nchi.
  • Wizara ya Kilimo
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Utumishi Portal

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Nkasi District Council

    Anwani ya posta: P. O. Box 2, Namanyere - Nkasi

    Simu: +255252830006

    Simu ya mkononi: +255252830006

    Barua pepe: ded@nkasidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Haki miliki