• malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi. |
Nkasi District Council
Nkasi District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

  • Nyumbani
  • Kuhusu sisi
    • Dhima na Dira
      • Muundo wa Taasisi
    • Muundo wa Taasisi
    • Historia
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya Fedha
      • Utawala na rasilimali watu
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Maendeleo ya jamii
      • Elimu msingi.
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na mitambo
      • Ardhi na maliasili
      • Kilimo na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA
    • Muundo wa taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa kwa umma
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Wajasiriamali wajengewa uwezo Wilayani Nkasi.

Imewekwa tarehe: July 13th, 2023

Kaimu mkurugenzi mtendaji halmashauri ya wilaya Nkasi ndugu Ladislaus Mzelela leo julai 13 amefungua mafunzo ya kuwajengea uwezo wajasiriamali hususani  Makundi ya wanawake na vijana  na washiriki wengine katika mafunzo hayo ni pamoja na Watendaji wa kata na vijiji kwa kata za Nkomolo,Majengo,Namanyere na Kipundu  Mafunzo yaliyratibiwa na ofisi ya  mkurugenzi mtendaji kupitia idara ya maendeleo ya jamii.Mzelela amewataka washiriki wote kutambua umuhimu wa mafunzo hayo kwani lengo lake ni kusaidia wanavikundi na wajasiriamali kutoka katika maeneo mbalimbali kujikwamua kiuchumi hasa kwa  kurasimisha  shughuli wanazozifanya ili zitambulike na serikali.Mada mbalimbali zimefundishwa ikiwemo suala la uwezeshaji katika kupata mikopo ya mitaji kupitia taasisi mbalimbali za kibenki ikiwemo benki ya CRDB ambao nao ni washirika wameeleza fursa watakazopata wajasiriamali  baada ya kurasimisha vikundi vyao.Amesisitiza kuwa ili kukuza mtaji ni lazima kuwe na nidhamu katika matumizi ya fedha pia amewataka wajasiriamali kutambua umuhimu wa kuwa na leseni za biashara pamoja na kutunza kumbukumbu za kibiashara kwani kufanya hivyo ni rahisi kukua kibiashara.Serikali wilayani nkasi inajukumu la kuhakikisha wajasiriamali wanatafutiwa masoko ya bidhaa zao pale wanapojisajiri na kutambuliwa kupitia idara ya maendeleo ya jamii.Kupitia mafunzo hayo pia imetolewa elimu ya kuzingatia viwango na ubora wa bidhaa hasa zinazotokana na ujasiriamali,matumizi sahihi ya leseni za biashara, upatikanaji na utunzaji wake.Afisa lishe kutoka ofisi ya mganga mkuu wa wilaya alipata nafasi ya kutoa elimu ya lishe pamoja na taarifa ya  kuanzishwa kwa siku ya lishe ya kijiji  itakayofanyika kila mwaka.Mfumo wa maisha ya kisasa na Wazazi kujikita zaidi kwenye shughuli za kiuchumi kunapelekea kupunguza malezi sahihi kwa Watoto kinachopelekea kuwepo kwa vitendo vya kikatili katika jamii.Amesema kuwa kama Watoto watapata malezi na stahiki zao sahihi kuna uwezekano mkubwa wa kulindwa na kuepukana na vitendo  vya kikatili ambavyo kwa sasa vimeshamiri katika jamii.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA YA UDEREVA NA AFISA MTENDAJI WA KIJII III April 05, 2023
  • MABADILIKO YA TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA AFISA MTENDAJI III June 01, 2023
  • Onesha zote

Taarifa mpya

  • DED NKASI AKABIDHIWA POS KUIMARISHA UKUSANYAJI MAPATO.

    August 18, 2023
  • Wajasiriamali wajengewa uwezo Wilayani Nkasi.

    July 13, 2023
  • UKAGUZI WA VYOO VINAVYOJENGWA KW HISANI YA PLAN

    June 12, 2023
  • KIKAO BAINA YA NMB NA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA NKASI

    June 13, 2023
  • Onesha zote

Video

HOTUBA YA MH.MKUU WA WILAYA NKASI
Video za hivi punde

Ukurasa wa karibu

  • Utumishi wa umma
  • Ofisi ya Rais,Tawala za mikoa na serikali za mitaa

Kurasa zinazofanana.

  • Tovuti ya mkoa wa Rukwa
  • Wizara ya elimu sayansi na teknolojia
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la mitihani
  • Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia
  • Wizara ya mambo ya ndani ya nchi.
  • Wizara ya Kilimo
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Utumishi Portal

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Nkasi District Council

    Anwani ya posta: P. O. Box 2, Namanyere - Nkasi

    Simu: +255252830006

    Simu ya mkononi: +255252830006

    Barua pepe: ded@nkasidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Haki miliki