• malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi. |
Nkasi District Council
Nkasi District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

  • Nyumbani
  • Kuhusu sisi
    • Dhima na Dira
      • Muundo wa Taasisi
    • Muundo wa Taasisi
    • Historia
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya Fedha
      • Utawala na rasilimali watu
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Maendeleo ya jamii
      • Elimu msingi.
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na mitambo
      • Ardhi na maliasili
      • Kilimo na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA
    • Muundo wa taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa kwa umma
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Siri kubwa ya kudumisha vikundi vya VICOBA hii hapa

Imewekwa tarehe: October 11th, 2018

Wanachama wa Bank za VICOBA wametakiwa kuendesha vikundi vyao kwa kufuata katiba na misingi waliyojiwekea na hiyo ndiyo siri kubwa ya kuweza kudumisha vikundi hivyo.

Wito huo umetolewa jana na meneje wa bank ya NMB tawi la Nkasi mkoani Rukwa Leonida Domician kwenye mkutano mkuu wa mwaka wa Tushikamane Vicoba ambapo amedai kuwa ili kuweza kufanikiwa kwa vikundi hivyo vya VCOBA ni lazima misingi ile iliyowekwa ifuatwe na kuwa hiyo ndiyo silaha kubwa ya kuweza kujipatia mafanikio.

Amesema kuwa VICOBA ni Bank ndogo ambazo zinawawezesha wanachama kuweka na kukopa na kuwa vikundi vingi vimekuwa vikishindwa kuendelea kwa kutofuata misingi hasa la nidhamu kwenye marejesho na kuwa kinachotakiwani kusimamiwa kwa misingi ya kikatiba waliyojiwekea na kuwa taasisi nyingi za kifedha zimekuwa zikivurugana sana hasa pale marejesho yanapokuwa magumu na kwa kuozingatia kanini.

Sambamba na hilo alikipongeza kikundio hicho cha VICOBA kwa kufanikiwa kutengeneza mtaji wa Tshs,Mil.40 na kudumu kwa muda wa miaka mitatu bila ya kuteteleka na kuwa huo ni mwanzo mzuri kwao na wakiendelea hivyo huenda wakatengeneza mtaji mkubwa na wanachama wakaweza kujikwamua kiuchumi kuanzia ngazi ya familia

Mwenyekiti wa Tushikamane Vicoba Marry Siame amesema kuwa kikundi chao cha vicoba kilianza kikiwa na watu wachache ambao ni Watumishi wa halmashauri na kuwa waliendelea kupata wanachama wengi na kuweza kufanikisha kuunda vikundi vingine viwili vyenye wanachama 30 kila kimoja ambavyo ni Tumaini Vicoba na Tujisogeze.

Amesema kuwa Vicoba hivyo vimekuwa vikipata mafanikio makubwa kutokana na nidhamu kubwa waliyoijenga katika umoja wao na kuwa wamekua wakijengewa uwezo mkubwa wa kiuendeshaji kutoka katika taasisi ya UYACODE ambayo imekuwa ikiwajengea uwezo kila mara na kuwasaidia kukabiliana na changamotop ambazo zimekua zikijitokeza.

Baadhi ya wanachama wamedai kuwa toka wajiunge na vicoba hivyo kwa kiasi kikubwa hata maisha yao yamebadilika sana kutokana na mikopo ya mara kwa mara inayopatikana katika vikundi hivyo

Matangazo

  • KAZI ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI KWA MWAKA HUU 2022 May 06, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MTENDAJI WA KIJIJI III NA KATIBU MAHSUSI III May 26, 2022
  • Onesha zote

Taarifa mpya

  • Serikali wilayani Nkasi mkoani Rukwa imeteketeza TANI mbili ya samaki wakavu waliobainika kuhifadhiwa kwa kutumia sumu

    July 19, 2019
  • Mwenge wa Uhuru unatarajia kuzindua na kuweka mawe ya msingi katika miradi mbalimbali ya maendeleo wilayani Nkasi yenye thamani ya zaidi Tshs,Bil.29

    April 07, 2019
  • Siri kubwa ya kudumisha vikundi vya VICOBA hii hapa

    October 11, 2018
  • Kupuuzwa kwa baadhi ya mila na desturi ni miongoni mwa sababu zinazochangia ongezeko la mimba za utotoni

    October 11, 2018
  • Onesha zote

Video

Ziara ya Waziri Mkuu Wilaya ya Nkasi
Video za hivi punde

Ukurasa wa karibu

  • Utumishi wa umma
  • Ofisi ya Rais,Tawala za mikoa na serikali za mitaa

Kurasa zinazofanana.

  • Tovuti ya mkoa wa Rukwa
  • Wizara ya elimu sayansi na teknolojia
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la mitihani
  • Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia
  • Wizara ya mambo ya ndani ya nchi.
  • Wizara ya Kilimo
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Utumishi Portal

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Nkasi District Council

    Anwani ya posta: P. O. Box 2, Namanyere - Nkasi

    Simu: +255252830006

    Simu ya mkononi: +255252830006

    Barua pepe: ded@nkasidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Haki miliki