• malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi. |
Nkasi District Council
Nkasi District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

  • Nyumbani
  • Kuhusu sisi
    • Dhima na Dira
      • Muundo wa Taasisi
    • Muundo wa Taasisi
    • Historia
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya Fedha
      • Utawala na rasilimali watu
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Maendeleo ya jamii
      • Elimu msingi.
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na mitambo
      • Ardhi na maliasili
      • Kilimo na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA
    • Muundo wa taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa kwa umma
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

MKOA WA RUKWA WAZINDUA MPANGO MKAKATI KUDHIBITI MAAFA

Imewekwa tarehe: January 27th, 2026

MKOA RUKWA WAZINDUA  MPANGO MAKAKATI  KUDHIBITI MAAFA.

Nkasi – Rukwa

Mkoa wa Rukwa kwa kushirikiana na ofisi ya waziri mkuu imezindua mpango mkakati wa usimamizi wa maafa ambao utasaidia kupunguza viashiria vya maafa ambayo yamekuwa yakijitokeza kila mwaka kwa kuharibu miundombinu ya serikali na makazi ya wananchi.


Akiongea wakati wa uzinduzi wa mpango huo Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu Dkt. James Kilabuko wilayani Nkasi mkoani Rukwa, amesema mpango huo utasaidia katika usimamizi wa maafa katika Halmashauri zote za mkoa huo, huku akisisistiza nyaraka hizo kutekelezwa kwa vitendo.


Aidha ameongeza kuwa hatua hiyo itasaidia kujenga uelewa wa jamii kuhusu masuala ya usimamizi wa maafa, kuimarisha mfumo wa utoaji wa tahadhari ya awali, kujenga uwezo wa kuzuia, kupunguza madhara na kujiandaa na kurejesha hali pindi maafa yanapotokea.


Kwa upande wake kaimu mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Eliudi Njongellah ,amesema mpango huo umekuja katika wakati muafa ambapo Halmashauri imekuwa ikikabiliwa na maafa yanayosababishwa na majanga hasa ya Upepo Mkali, Magonjwa ya Mlipuko kwa binadamu na wanyama, mafuriko pamoja na mgongano wa wanyamapori na binadamu ambayo yamekuwa yakijirudia mara kwa mara na kwamba uwepo wa makakati huo utasaidia kuimarisha uwezo wa wananchi kupanda miti kwenye maeneo ya makazi.


Licha ya hilo, amesema uandaaji wa nyaraka za usimamizi wa maafa ni hatua nzuri kueleka katika ujenzi wa jamii iliyo stahimilivu dhidi ya majanga katika Wilaya ya Nkasi, hivyo ni wajibu wa kila Idara, Vitengo na Taasisi zote zilizopo katika Halmashauri, kuzingatia dira katika kutekeleza vipaumbele vya kisekta.


Kwa upande wake Mkurugenzi Idara ya Menejimenti ya Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu Brigedia Generali Hosea Ndagala, amesema Idara hiyo imekuwa ikichukua hatua za kuzuia, kujiandaa na kukabiliana na maafa na kurejesha hali pindi maafa yanapotokea kwa mujibu wa sheria, kanuni na taratibu zilizopo.


Hata hivyo Mkuu wa Wilaya ya Nkasi Mheshimiwa Peter Lijualikali ameishukuru Ofisi ya Waziri Mkuu na shirika la kuhudumia Watoto ulimwenguni (UNICEF), kwa kazi nzuri ya uandaaji wa nyaraka za usimamizi wa maafa na kutoa elimu juu ya masualsa ya menejimenti ya maafa kwa Wilaya ya Nkasi na kuahidi kuzifanyia kazi nyaraka hizo ili kuleta matokeo chanya.

Matangazo

  • No records found
  • Onesha zote

Taarifa mpya

  • MKOA WA RUKWA WAZINDUA MPANGO MKAKATI KUDHIBITI MAAFA

    January 27, 2026
  • KIKAO CHA KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI CHAJADILI TAARIFA ZA ROBO YA PILI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025.

    January 23, 2026
  • BARAZA LA WAFANYAKAZI NKASI LA KETI KATIKA KIKAO CHAKE CHA KWANZA

    January 22, 2026
  • MHE. LIJUALIKALI ATOA NENO KWA KAMATI TENDAJI YA WILAYA YA USIMAMIZI WA MAAFA

    January 21, 2026
  • Onesha zote

Video

HOTUBA YA MH.MKUU WA WILAYA NKASI
Video za hivi punde

Ukurasa wa karibu

  • Utumishi wa umma
  • Ofisi ya Rais,Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Mfumo wa manunuzi nest
  • Employee Self Service

Kurasa zinazofanana.

  • Tovuti ya mkoa wa Rukwa
  • Wizara ya elimu sayansi na teknolojia
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la mitihani
  • Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia
  • Wizara ya mambo ya ndani ya nchi.
  • Wizara ya Kilimo
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Utumishi Portal

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Nkasi District Council

    Anwani ya posta: P. O. Box 2, Namanyere - Nkasi

    Simu: +255252830006

    Simu ya mkononi: +255252830006

    Barua pepe: ded@nkasidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Haki miliki