• malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi. |
Nkasi District Council
Nkasi District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

  • Nyumbani
  • Kuhusu sisi
    • Dhima na Dira
      • Muundo wa Taasisi
    • Muundo wa Taasisi
    • Historia
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya Fedha
      • Utawala na rasilimali watu
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Maendeleo ya jamii
      • Elimu msingi.
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na mitambo
      • Ardhi na maliasili
      • Kilimo na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA
    • Muundo wa taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa kwa umma
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

MAADHIMISHO YA UKIMWI DISEMBA MOSI NKASI

Imewekwa tarehe: December 1st, 2022


Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Queen Sendiga ameongoza wakazi wa Wilaya ya Nkasi na mkoa wa Rukwa katika maadhimisho ya UKIMWI duniani yaliyofanyika Kata ya Kirando Wilaya ya Nkasi.Maadhimisho haya hufanyika kila mwaka Desemba mosi ambapo kauli mbiu mwaka huu ni IMARISHA USAWA WA KIJINSIA.

Takwimu za mkoa wa Rukwa kwa mujibu wa Takwimu za viashiria vya VVU Na UKIMWI kwa mwaka 2011/2012 Mkoa umeweza kushusha kiwango cha maambukizi kutoka 6.2% hadi kufikia 4% mwaka 2016/17 kwa mwaka 2021/2022 mkoa uliweka lengo la kupima watu 151,202 na umefanikiwa kupima watu 120,555 sawa na asilimia 80% kati yao Wanawake ni 68254 sawa na 57% na wanaume 52301 sawa na 43% katika huduma hiyo wanaume 1597 walibainika kuwa na Maambukizi ya VVU na Wanawake 2045 walibainika kuwa na maambukizi mapya ambapo waliunganishwa kwenye tiba,kundi lenye maambukizi ya juu Zaidi ni kuanzia miaka 25 hadi 49.

Katika hotuba yake Sendiga amesema kuwa Serikali imeendelea kuboresha huduma za utoaji na upatikanaji wa dawa za kufubaza Virusi vya UKIMWI ili kupunguza makali ya ugonjwa huo bure,lakini pia amewataka wataalamu wa tiba kutoa majibu kwa wakati ya maradhi kwa wote wanaochangia damu ili waweze kuchukua hatua za tiba na ushauri mapema.”Tunahitaji elimu ya kutosha kwamba mama anapopima sio kipimo chako lazima upime ili na wewe uweze kujihakikishia uhakika wa afya yako,tulisahau kama UKIMWI hivyo kama tulivyochukua tahadhari wakati wa COVID ndivyo tuendelee kuchukua tahadhari hizo dhidi ya VVU”.MAADHIMISHO YA UKIMWI DUNIANI KIMKOA WILAYA YA NKASI KATA YA KIRANDO.


Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Queen Sendiga ameongoza wakazi wa Wilaya ya Nkasi na mkoa wa Rukwa katika maadhimisho ya UKIMWI duniani yaliyofanyika Kata ya Kirando Wilaya ya Nkasi.Maadhimisho haya hufanyika kila mwaka Desemba mosi ambapo kauli mbiu mwaka huu ni IMARISHA USAWA WA KIJINSIA.

Takwimu za mkoa wa Rukwa kwa mujibu wa Takwimu za viashiria vya VVU Na UKIMWI kwa mwaka 2011/2012 Mkoa umeweza kushusha kiwango cha maambukizi kutoka 6.2% hadi kufikia 4% mwaka 2016/17 kwa mwaka 2021/2022 mkoa uliweka lengo la kupima watu 151,202 na umefanikiwa kupima watu 120,555 sawa na asilimia 80% kati yao Wanawake ni 68254 sawa na 57% na wanaume 52301 sawa na 43% katika huduma hiyo wanaume 1597 walibainika kuwa na Maambukizi ya VVU na Wanawake 2045 walibainika kuwa na maambukizi mapya ambapo waliunganishwa kwenye tiba,kundi lenye maambukizi ya juu Zaidi ni kuanzia miaka 25 hadi 49.

Katika hotuba yake Sendiga amesema kuwa Serikali imeendelea kuboresha huduma za utoaji na upatikanaji wa dawa za kufubaza Virusi vya UKIMWI ili kupunguza makali ya ugonjwa huo bure,lakini pia amewataka wataalamu wa tiba kutoa majibu kwa wakati ya maradhi kwa wote wanaochangia damu ili waweze kuchukua hatua za tiba na ushauri mapema.”Tunahitaji elimu ya kutosha kwamba mama anapopima sio kipimo chako lazima upime ili na wewe uweze kujihakikishia uhakika wa afya yako,tulisahau kama UKIMWI hivyo kama tulivyochukua tahadhari wakati wa COVID ndivyo tuendelee kuchukua tahaMAADHIMISHO YA UKIMWI DUNIANI KIMKOA WILAYA YA NKASI KATA YA KIRANDO.


Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Queen Sendiga ameongoza wakazi wa Wilaya ya Nkasi na mkoa wa Rukwa katika maadhimisho ya UKIMWI duniani yaliyofanyika Kata ya Kirando Wilaya ya Nkasi.Maadhimisho haya hufanyika kila mwaka Desemba mosi ambapo kauli mbiu mwaka huu ni IMARISHA USAWA WA KIJINSIA.

Takwimu za mkoa wa Rukwa kwa mujibu wa Takwimu za viashiria vya VVU Na UKIMWI kwa mwaka 2011/2012 Mkoa umeweza kushusha kiwango cha maambukizi kutoka 6.2% hadi kufikia 4% mwaka 2016/17 kwa mwaka 2021/2022 mkoa uliweka lengo la kupima watu 151,202 na umefanikiwa kupima watu 120,555 sawa na asilimia 80% kati yao Wanawake ni 68254 sawa na 57% na wanaume 52301 sawa na 43% katika huduma hiyo wanaume 1597 walibainika kuwa na Maambukizi ya VVU na Wanawake 2045 walibainika kuwa na maambukizi mapya ambapo waliunganishwa kwenye tiba,kundi lenye maambukizi ya juu Zaidi ni kuanzia miaka 25 hadi 49.

Katika hotuba yake Sendiga amesema kuwa Serikali imeendelea kuboresha huduma za utoaji na upatikanaji wa dawa za kufubaza Virusi vya UKIMWI ili kupunguza makali ya ugonjwa huo bure,lakini pia amewataka wataalamu wa tiba kutoa majibu kwa wakati ya maradhi kwa wote wanaochangia damu ili waweze kuchukua hatua za tiba na ushauri mapema.”Tunahitaji elimu ya kutosha kwamba mama anapopima sio kipimo chako lazima upime ili na wewe uweze kujihakikishia uhakika wa afya yako,tulisahau kama UKIMWI hivyo kama tulivyochukua tahadhari wakati wa COVID ndivyo tuendelee kuchukua tahadhari hizo dhidi ya VVU”.MAADHIMISHO YA UKIMWI DUNIANI KIMKOA WILAYA YA NKASI KATA YA KIRANDO.


Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Queen Sendiga ameongoza wakazi wa Wilaya ya Nkasi na mkoa wa Rukwa katika maadhimisho ya UKIMWI duniani yaliyofanyika Kata ya Kirando Wilaya ya Nkasi.Maadhimisho haya hufanyika kila mwaka Desemba mosi ambapo kauli mbiu mwaka huu ni IMARISHA USAWA WA KIJINSIA.

Takwimu za mkoa wa Rukwa kwa mujibu wa Takwimu za viashiria vya VVU Na UKIMWI kwa mwaka 2011/2012 Mkoa umeweza kushusha kiwango cha maambukizi kutoka 6.2% hadi kufikia 4% mwaka 2016/17 kwa mwaka 2021/2022 mkoa uliweka lengo la kupima watu 151,202 na umefanikiwa kupima watu 120,555 sawa na asilimia 80% kati yao Wanawake ni 68254 sawa na 57% na wanaume 52301 sawa na 43% katika huduma hiyo wanaume 1597 walibainika kuwa na Maambukizi ya VVU na Wanawake 2045 walibainika kuwa na maambukizi mapya ambapo waliunganishwa kwenye tiba,kundi lenye maambukizi ya juu Zaidi ni kuanzia miaka 25 hadi 49.

Katika hotuba yake Sendiga amesema kuwa Serikali imeendelea kuboresha huduma za utoaji na upatikanaji wa dawa za kufubaza Virusi vya UKIMWI ili kupunguza makali ya ugonjwa huo bure,lakini pia amewataka wataalamu wa tiba kutoa majibu kwa wakati ya maradhi kwa wote wanaochangia damu ili waweze kuchukua hatua za tiba na ushauri mapema.”Tunahitaji elimu ya kutosha kwamba mama anapopima sio kipimo chako lazima upime ili na wewe uweze kujihakikishia uhakika wa afya yako,tulisahau kama UKIMWI hivyo kama tulivyochukua tahadhari wakati wa COVID ndivyo tuendelee kuchukua taha

Matangazo

  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYA USAILI NAFASI YA AFISA MTENDAJI III NA KATIBU MAHSUSI III July 09, 2022
  • MAJINA YA WALIOITWA KUFANYA USAILI WA NAFASI YA AFISA MTENDAJI III July 11, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 29, 2022
  • Onesha zote

Taarifa mpya

  • WAZIRI MKUU ATOA MAAGIZO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI NCHINI.

    December 17, 2022
  • KUELEKEA MIAKA 61 YA UHURU WANANCHI NA VIONGOZI NKASI WAPANDA MITI KASU.

    December 06, 2022
  • MAADHIMISHO YA UKIMWI DISEMBA MOSI NKASI

    December 01, 2022
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA

    October 08, 2022
  • Onesha zote

Video

HOTUBA YA MH.MKUU WA WILAYA NKASI
Video za hivi punde

Ukurasa wa karibu

  • Utumishi wa umma
  • Ofisi ya Rais,Tawala za mikoa na serikali za mitaa

Kurasa zinazofanana.

  • Tovuti ya mkoa wa Rukwa
  • Wizara ya elimu sayansi na teknolojia
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la mitihani
  • Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia
  • Wizara ya mambo ya ndani ya nchi.
  • Wizara ya Kilimo
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Utumishi Portal

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Nkasi District Council

    Anwani ya posta: P. O. Box 2, Namanyere - Nkasi

    Simu: +255252830006

    Simu ya mkononi: +255252830006

    Barua pepe: ded@nkasidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Haki miliki