• malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi. |
Nkasi District Council
Nkasi District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

  • Nyumbani
  • Kuhusu sisi
    • Dhima na Dira
      • Muundo wa Taasisi
    • Muundo wa Taasisi
    • Historia
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya Fedha
      • Utawala na rasilimali watu
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Maendeleo ya jamii
      • Elimu msingi.
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na mitambo
      • Ardhi na maliasili
      • Kilimo na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA
    • Muundo wa taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa kwa umma
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

CHUKUENI TAHADHARI MAPEMA

Imewekwa tarehe: October 6th, 2022


Mkuu wa wilaya Nkasi Peter Lijualikali amekutana na kufanya mazungumzo na Wadau wa Afya wakiwemo wataalamu,Wazee maarufu,Wachungaji wa makanisa mbalimbali,Madiwani na viongozi wa vyama vya siasa,ambapo kupitia kikao hicho amesisitiza kila mmoja kuchukua tahadhari mapema juu ya ugonjwa wa EBOLA kwani wilaya ya Nkasi ipo Mpakani mwa Nchi zinazotajwa kuwa na Wagonjwa wa ugonjwa huo wa EBOLA.


Lijualikali amesema”Watu wa usalama tayari wanamajukumu yao,Watumishi wa mungu na wadau wengine ndani ya wilaya yetu ni jukumu letu kuhakikisha tunatoa elimu na kuhamasisha wananchi wachukue tahadhari”.


Nae mratibu wa Magonjwa ya dharura wilayani Nkasi Dkt Katutu amesema Wizara ya afya imeelekeza kila wilaya kuweka mikakati ya kukabiliana na ugonjwa huo. Ugonjwa wa EBOLA unaenezwa kwa kugusa nguo ,shuka au godoro kugusa majimaji ya mwili kama vile mkojo, kamasi ,kinyesi ,kamasi, mate, damu matapishi na jasho njia nyingine ni kuchangia vitu vyenye ncha kali na kusa wanyamapori au mizoga ya wanyama kama vile nyani na swala wanaoripotiwa kubeba virusi vya EBOLA.


Dkt Katutu amesema dalili za ugonjwa wa EBOLA ni pamoja na kua na homa kali ya ghafla, kuumwa kichwa , maumivu ya misuli, kutapika ,mwili kuwa dhaifu, kuhara damu ,kutokwa na damu sehemu za wazi jinsi ya kujikinga na ugonjwa huo ni kuepuka kushika nguo shuka au godoro kugusa majimaji ya mwili kama vile mkojo, kamasi ,kinyesi ,kamasi, mate, damu matapishi na jasho ya mtu mwenye ugonjwa wa EBOLA kuepuka kushika wanyama pori wakiwa hai au mizoga,kunawa mikono mara kwa mara na kutozika wa kugusa maiti ya mtu aliyefariki akiwa na dalili hizo.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA YA UDEREVA NA AFISA MTENDAJI WA KIJII III April 05, 2023
  • MABADILIKO YA TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA AFISA MTENDAJI III June 01, 2023
  • Onesha zote

Taarifa mpya

  • KUELEKEA MIAKA 59 YA MUUNGANO DC AZINDUA CHUMBA CHA DARASA SHULE YA MSINGI MAJENGO.

    April 24, 2023
  • ELIMU BORA YAWEZESHA MAFUNZO YA UWAWA AWAMU YA I NKASI.

    March 09, 2023
  • WATENDAJI WA KATA WAKABIDHIWA PIKIPIKI KUBORESHA UKUSANYAJI WA MAPATO.

    March 10, 2023
  • WAZIRI MKUU ATOA MAAGIZO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI NCHINI.

    December 17, 2022
  • Onesha zote

Video

HOTUBA YA MH.MKUU WA WILAYA NKASI
Video za hivi punde

Ukurasa wa karibu

  • Utumishi wa umma
  • Ofisi ya Rais,Tawala za mikoa na serikali za mitaa

Kurasa zinazofanana.

  • Tovuti ya mkoa wa Rukwa
  • Wizara ya elimu sayansi na teknolojia
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la mitihani
  • Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia
  • Wizara ya mambo ya ndani ya nchi.
  • Wizara ya Kilimo
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Utumishi Portal

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Nkasi District Council

    Anwani ya posta: P. O. Box 2, Namanyere - Nkasi

    Simu: +255252830006

    Simu ya mkononi: +255252830006

    Barua pepe: ded@nkasidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Haki miliki