• malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi. |
Nkasi District Council
Nkasi District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

  • Nyumbani
  • Kuhusu sisi
    • Dhima na Dira
      • Muundo wa Taasisi
    • Muundo wa Taasisi
    • Historia
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya Fedha
      • Utawala na rasilimali watu
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Maendeleo ya jamii
      • Elimu msingi.
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na mitambo
      • Ardhi na maliasili
      • Kilimo na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA
    • Muundo wa taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa kwa umma
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

BARAZA LA WAFANYAKAZI NKASI LA KETI KATIKA KIKAO CHAKE CHA KWANZA

Imewekwa tarehe: January 22nd, 2026

BARAZA LA WAFANYA KAZI NKASI LA KETI KATIKA KIKAO CHAKE CHA KWANZA.


Baraza la wafanya kazi wilaya ya Nkasi Mkoani Rukwa leo January 22, 2026, limefanya kikao chake cha kwanza cha kujadili na kupitisha rasimu ya mpango na bajeti kwa mwaka wa fedha 2026/2027, kikao ambacho kimefanyika katika ukumbi wa Halmashauri hiyo.


Awali akifungua kikao hicho Mwenyekiti, ambae pia ni kaimu Mkurugenzi Halmashauri ya Nkasi Bw.Eliud Njogellah, alisema bajeti hiyo ni shirikishi hasa kupitia baraza la wafanya kazi ambao wanawakilisha Idara mbalimbali, ili kuhakikisha malengo ya Halmashauri yanatimia.


Aidha kupitia kikao hicho wajumbe wa baraza la wafanya kazi wilaya, walipokea taarifa ya utendaji kazi wa Halmashauri kwa kipindi cha kuanzia January 2025 hadi Desemba 2025, pamoja na taarifa ya mapitio ya utekelezaji wa Mpango na bajeti kwa mwaka wa fedha 2024/2025, 2025/2026 na mapendekezo ya mpango na bajeti kwa Mwaka 2026/2027.


Sambamba na hayo miongoni mwa machache Kati ya  mengi  yaliyoshauriwa na wajumbe kupitia kikao hicho, ni pamoja na uboreshwaji wa miundombinu kuwa rafiki kwa watu wenye mahitaji maalum kwa sehemu zote zinazotolewa huduma za jamii, pamoja na usimamizi wa maadili kwa watoto, kwani wengi wao wanaathiriwa kitaaluma kwa kuangalia filamu almaarufu kama season kwenye vibanda vya video na hata majumbani kwao.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 03, 2025
  • TAARIFA YA MAFUNZO ELEKEZI KWA WALIMU WALIOAJIRIWA KATIKA UTUMISHI WA UMMA 2025 July 09, 2025
  • Onesha zote

Taarifa mpya

  • BARAZA LA WAFANYAKAZI NKASI LA KETI KATIKA KIKAO CHAKE CHA KWANZA

    January 22, 2026
  • MHE. LIJUALIKALI ATOA NENO KWA KAMATI TENDAJI YA WILAYA YA USIMAMIZI WA MAAFA

    January 21, 2026
  • WATUMISHI MAKAO MAKUU NKASI WAPATA MAFUNZO YA KUJIKINGA NA MOTO.

    October 09, 2025
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA ELIMU YA WATU WAZIMA NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI

    September 02, 2025
  • Onesha zote

Video

HOTUBA YA MH.MKUU WA WILAYA NKASI
Video za hivi punde

Ukurasa wa karibu

  • Utumishi wa umma
  • Ofisi ya Rais,Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Mfumo wa manunuzi nest
  • Employee Self Service

Kurasa zinazofanana.

  • Tovuti ya mkoa wa Rukwa
  • Wizara ya elimu sayansi na teknolojia
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la mitihani
  • Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia
  • Wizara ya mambo ya ndani ya nchi.
  • Wizara ya Kilimo
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Utumishi Portal

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Nkasi District Council

    Anwani ya posta: P. O. Box 2, Namanyere - Nkasi

    Simu: +255252830006

    Simu ya mkononi: +255252830006

    Barua pepe: ded@nkasidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Haki miliki