• malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi. |
Nkasi District Council
Nkasi District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

  • Nyumbani
  • Kuhusu sisi
    • Dhima na Dira
      • Muundo wa Taasisi
    • Muundo wa Taasisi
    • Historia
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya Fedha
      • Utawala na rasilimali watu
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Maendeleo ya jamii
      • Elimu msingi.
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na mitambo
      • Ardhi na maliasili
      • Kilimo na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA
    • Muundo wa taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa kwa umma
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Kilimo, Umwagiliaji na ushirika

Idara ya Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji katika Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi ina jumla ya  Watumishi  ishirini na mbili (22) na Wanne (04) Wakiwa kutoka idara ya  Ushirika. Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi inategemea kilimo, ufugaji na Misitu kwa asilimia 78, wafanyabishara asilimia 11, watumishi wa umma na sekta binafsi asilimia 6 na shughuli nyingine asilimia 5. Sekta ya binafsi inachangiwa na makampuni na mashirika ya fedha ikiwemo mabenki ya National Microfinance Bank (NMB), National Bank of Commerce (NBC), CRDB, NJOCOBA na Saccos hai 13 zinazoendelea kutoa huduma za kifedha.

Mazao yanayolimwa katika Halmashauri ya Mji Njombe ni pamoja na;

  • Mazao ya chakula ni Mahindi, ngano, maharage, ulezi, viazi mviringo na njegele.
  • Mazao ya biashara ni Chai, Kahawa, Maua na alizeti.
  • Mazao ya matunda na mboga mboga ni Apples, Peaches, Plums, pears, Avocado (Parachichi), ndizi, cabbage, nyanya, vitunguu, mchicha na figili 

MAJUKUMU YA IDARA KILIMO UMWAGILIAJI NA USHIRIKA

  1. KILIMO

  • Kuratibu, kufuatilia, Kusimamia na kutathmini utekelezaji wa kazi zote za kilimo katika Halmashauri
  • Kusimamia shughuli za huduma za ugani zinazotolewa na sekta za umma na sekta binafsi ndani ya halmashauri na kuandaa mikataba ya kutoa huduma za ugani kwa kushirikiana na Mwanasheria wa halmashauri
  • Kuratibu na kusimamia maandalizi ya makisio ya mahitaji ya pembejeo na zana za kilimo na upatikanaji na usambazaji wake
  • Kutoa taarifa ya mlipuko ya magonjwa na wadudu waharibifu ngazi ya Mkoa,
  • Kuhamasisha na kuimarisha mitandao ya wakulima
  • Kuwawezesha wakulima kutambua fursa na vikwazo vilivyopo katika matumizi ya teknolojia zilizopo na uzalishaji wa mazao ya kilimo ili kupeleka teknolojia sahihi kwa wakulima kulingana na mahitaji yao.
  • Kusimamia shughuli zote za umwagiliaji
  • Kuthibiti visumbufu vya mimea na mazao 

b) USHIRIKA 

  • Kuratibu na Kusimamia shughuli zote za sekta ya maendeleo ya Ushirika katika Halmashauri
  • Kuhakikisha vyama vya ushirika vinaandikishwa na kutangaza kuvifuta pale itakapotakiwa kufanya hivyo
  • Kuchambua makisio ya mapato na matumizi ya vyama na kutoa mapendekezo kwa mrajisi wa vyama vya ushirika
  • Kufanya mapitio ya sera na sheria ya ushirika na kushauri ipasavyo
  • Kushirikiana na watafiti katika kuendesha na kutoa matokea ya vishamba vya majaribio (vya vishamba darasa- FFS) mbegu na mbolea na madawa katika Halmashauri.
  • Kutoa mafunzo kwa wakulima juu ya matumizi bora ya mbolea na mbegu na madawa
  • Kuwatembelea wauzaji pembejeo za kilimo (Agro-Dealers) ili kupata bei za pembejeo zilizoko sokoni na kuwapa taarifa hizo wakulima
  • Kushirikiana na wadau mbalimbali wa kilimo ili kuweza kufanya tafiti za kuwezesha kukusanya taarifa mbalimbali za kilimo kwa lengo la kupata takwimu zitakazosaidia kupanga mipango ya kuendeleza sekta ya kilimo, utafutaji wa masoko, usindikaji na mapato yatakayotokana na kilimo.
  • Kutumia takwimu kutabiri upatikanaji wa mavuno ya mazao mbalimbali katika mwaka husika na mwenendo wa uzalishaji kwa miaka inayofuata.

 

 Fursa za uwekezaji zilizopo katika Sekta ya Kilimo 

  • Jumla ya eneo lote la Halmashauri ni hekta 321,200.Eneo linalofaa kwa kilimo ni hekta 192,700. Eneo linalofaa kwa kilimo cha umwagiliaji ni hekta 3,193. Mazao yanayoweza kupatikana katika maeneo haya ni mahindi, maharage, nyanya, mboga, chai, vitunguu, njegere, na viazi mviringo.
  • Eneo linalofaa kwa kilimo cha matunda ni kilomita za mraba 481.75 (Parachichi, Peas, Matofaa, Peach, plums, Nanasi,”Topetope-Annona spp”, passion , na machungwa. Eneo linalofaa kwa kilimo cha mazao ya chakula na Biashara ni kilomita za mraba 1,927( mahindi, maharage, ngano,viazi mviringo, chai, alizeti na pareto)
  • Uwekezaji katika viwanda vidogo na vya kati vya kusindika bidhaa zitokanazo na Kilimo na Ufugaji ambavyo kwa kiasi kikubwa vinaweza kupunguza tatizo la ajira kwa vijana.
  • Uwekezaji katika mazao mbadala: Uwekezaji  katika kilimo cha maua ni  moja ya  sekta    muhimu kwa maendeleo ya taifa kutokana na kuchangia katika pato la taifa ikiwa ni pamoja na kutoa ajira kwa watu wengi.
  • Uwepo wa hali ya hewa inayofaa kwa ufugaji wa ng’ombe wa maziwa na nyama
  • Maeneo ya kunenepeshea mifugo (Feedlot)
  • Uwepo wa malighafi za kutosha kuwezesha uboreshaji wa ufugaji wa kuku wa asili na nguruwe bora.

Matangazo

  • TANGANZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU April 04, 2025
  • Onesha zote

Taarifa mpya

  • MKUU WA MKOA AIPONGEZA HALMASHAURI YA NKASI

    June 11, 2025
  • Onesha zote

Video

HOTUBA YA MH.MKUU WA WILAYA NKASI
Video za hivi punde

Ukurasa wa karibu

  • Utumishi wa umma
  • Ofisi ya Rais,Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Mfumo wa manunuzi nest
  • Employee Self Service

Kurasa zinazofanana.

  • Tovuti ya mkoa wa Rukwa
  • Wizara ya elimu sayansi na teknolojia
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la mitihani
  • Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia
  • Wizara ya mambo ya ndani ya nchi.
  • Wizara ya Kilimo
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Utumishi Portal

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Nkasi District Council

    Anwani ya posta: P. O. Box 2, Namanyere - Nkasi

    Simu: +255252830006

    Simu ya mkononi: +255252830006

    Barua pepe: ded@nkasidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Haki miliki