• malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi. |
Nkasi District Council
Nkasi District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

  • Nyumbani
  • Kuhusu sisi
    • Dhima na Dira
      • Muundo wa Taasisi
    • Muundo wa Taasisi
    • Historia
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya Fedha
      • Utawala na rasilimali watu
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Maendeleo ya jamii
      • Elimu msingi.
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na mitambo
      • Ardhi na maliasili
      • Kilimo na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA
    • Muundo wa taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa kwa umma
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Serikali wilayani Nkasi mkoani Rukwa imeteketeza TANI mbili ya samaki wakavu waliobainika kuhifadhiwa kwa kutumia sumu

Imewekwa tarehe: July 19th, 2019

Serikali wilayani Nkasi mkoani Rukwa imeteketeza TANI mbili ya samaki

wakavu waliobainika kuhifadhiwa kwa kutumia sumu kinyume na  sheria ya

Mamlaka ya chakula na dawa TFDA  Na,30(1)a,b,c ya mwaka 2003.


Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na mkurugenzi mtendaji wa

halmashauri ya wilaya Nkasi Missana Kwangula ni kuwa walipata taarifa

kutoka kwa raia wema juu ya kufanyika kwa vitendo hivyo haramu vya

mfanyabiashara Dernest Batupu wa kijiji cha Kalungu kata ya mkinga

kuwahifadhi samaki wake kwa kutumia sumu ili samaki hao wasiweze kuoza

na kuwa dawa hiyo ni hatari sana kwa afya ya watumiaji wa samaki hao


Amedai kuwa baada ya kukamatwa mtuhumiwa huyo alihojiwa na kukubali

kuwa anatumia sumu katika kuwahifadhi samaki wake ili wasiweze

kuharibika kwa maana anawapeleka mbali kibiashara nchini Burundi.


Kwangula amefafanua kuwa baada ya hapo na kufuatia uchunguzi wa

kitaalamu chini ya TFDA kufanyika na kubaini kuwapo kwa sumu katika

samaki hao walichukua hatua ya kumtoza faini ya shilingi milioni moja

kwa mujibu wa sheria chini ya TFDA na mhusika kuridhia samaki hao

kuteketezwa kitu ambacho kimefanyika leo


Mganga mkuu wa wilaya Hashimu Mvogogo amesema kuwa samaki

wanaohifadhiwa kwa kutumia sumu wana hatari kubwa ya kiafya kwa

watumiaji wa samaki hao na kuwa msako mkali utaendelea ili kuweza

kuwabaini wale wote wanaofanya vitendo hivyo



Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI. May 29, 2018
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 18, 2020
  • WANAFUNZI ALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021 BWENI MKOA WA RUKWA. December 18, 2020
  • Onesha zote

Taarifa mpya

  • Madaktari bingwa kutoka Italia wapatao 32 watafika wilayani Nkasi na kutoa tiba kwa wagongwa wenye matatizo mbalimbali ya kiafya

    July 22, 2019
  • Serikali wilayani Nkasi mkoani Rukwa imeteketeza TANI mbili ya samaki wakavu waliobainika kuhifadhiwa kwa kutumia sumu

    July 19, 2019
  • Mwenge wa Uhuru unatarajia kuzindua na kuweka mawe ya msingi katika miradi mbalimbali ya maendeleo wilayani Nkasi yenye thamani ya zaidi Tshs,Bil.29

    April 07, 2019
  • Walimu waaswa kuachana na mawazo ya kuiba mitihani

    October 15, 2018
  • Onesha zote

Video

Ziara ya Waziri Mkuu Wilaya ya Nkasi
Video za hivi punde

Ukurasa wa karibu

  • Utumishi wa umma
  • Ofisi ya Rais,Tawala za mikoa na serikali za mitaa

Kurasa zinazofanana.

  • Tovuti ya mkoa wa Rukwa
  • Wizara ya elimu sayansi na teknolojia
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la mitihani
  • Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia
  • Wizara ya mambo ya ndani ya nchi.
  • Wizara ya Kilimo
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Utumishi Portal

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Nkasi District Council

    Anwani ya posta: P. O. Box 2, Namanyere - Nkasi

    Simu: +255252830006

    Simu ya mkononi: +255252830006

    Barua pepe: ded@nkasidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Haki miliki